28 Lakini kwangu mimi,
ni vyema kuwa karibu na Mungu.
Nimemfanya Bwana Mungu Mwenyezi kimbilio langu;
nami nitayasimulia matendo yako yote.
28 Lakini kwangu mimi,
ni vyema kuwa karibu na Mungu.
Nimemfanya Bwana Mungu Mwenyezi kimbilio langu;
nami nitayasimulia matendo yako yote.