23 Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu
na kufungua milango ya mbingu,
24 akawanyeshea mana ili watu wale;
aliwapa nafaka ya mbinguni.
25 Watu walikula mkate wa malaika,
akawatumia chakula chote ambacho wangeweza kula.
23 Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu
na kufungua milango ya mbingu,
24 akawanyeshea mana ili watu wale;
aliwapa nafaka ya mbinguni.
25 Watu walikula mkate wa malaika,
akawatumia chakula chote ambacho wangeweza kula.