Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 78

23 Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu

na kufungua milango ya mbingu,

24 akawanyeshea mana ili watu wale;

aliwapa nafaka ya mbinguni.

25 Watu walikula mkate wa malaika,

akawatumia chakula chote ambacho wangeweza kula.

Veja também