Publicidade

Salmos 78

4 Hatutayaficha kwa watoto wao;

tutakiambia kizazi kijacho

matendo yastahiliyo sifa ya Mwenyezi Mungu,

uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.

5 Aliagiza amri kwa Yakobo

na akaweka sheria katika Israeli,

ambazo aliwaamuru baba zetu

wawafundishe watoto wao,

6 ili kizazi kijacho kizijue,

pamoja na watoto ambao watazaliwa,

nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.

7 Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu,

nao hawangesahau matendo yake,

bali wangezishika amri zake.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-