11 Kwa kuwa Bwana Mwenyezi Mungu ni jua na ngao;
Mwenyezi Mungu hutoa wema na heshima;
hakuna kitu chema anachowanyima
wale ambao hawana hatia.
11 Kwa kuwa Bwana Mwenyezi Mungu ni jua na ngao;
Mwenyezi Mungu hutoa wema na heshima;
hakuna kitu chema anachowanyima
wale ambao hawana hatia.