9 Ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako;
naam, Mwenyezi Mungu ambaye ni kimbilio langu;
10 basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,
hakuna maafa yatalikaribia hema lako.
9 Ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako;
naam, Mwenyezi Mungu ambaye ni kimbilio langu;
10 basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,
hakuna maafa yatalikaribia hema lako.