6 Maneno ya Mwenyezi Mungu ni safi,
kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,
iliyosafishwa mara saba.
7 Ee Mwenyezi Mungu, utatuweka salama
na kutulinda na kizazi hiki milele.
6 Maneno ya Mwenyezi Mungu ni safi,
kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,
iliyosafishwa mara saba.
7 Ee Mwenyezi Mungu, utatuweka salama
na kutulinda na kizazi hiki milele.