Usalama wa watu wa Mwenyezi Mungu
1 Wale wamtumainio Mwenyezi Mungu ni kama Mlima Sayuni,
ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,
ndivyo Mwenyezi Mungu anavyowazunguka watu wake
sasa na hata milele.
1 Wale wamtumainio Mwenyezi Mungu ni kama Mlima Sayuni,
ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,
ndivyo Mwenyezi Mungu anavyowazunguka watu wake
sasa na hata milele.