Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 125

Usalama wa watu wa Mwenyezi Mungu

1 Wale wamtumainio Mwenyezi Mungu ni kama Mlima Sayuni,

ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.

2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,

ndivyo Mwenyezi Mungu anavyowazunguka watu wake

sasa na hata milele.

Veja também