Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 33

Ukuu na wema wa Mwenyezi Mungu

1 Mwimbieni Mwenyezi Mungu kwa furaha, enyi wenye haki;

wanyofu wa moyo wanapaswa kumsifu.

2 Msifuni Mwenyezi Mungu kwa kinubi,

mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.

3 Mwimbieni wimbo mpya;

pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também