13 Kwa nini mdhalimu amdharau Mungu.
Akisema moyoni mwake, Hutapatiliza?
14 Umeona, maana unaangalia matatizo na dhiki,
Uyatwae mkononi mwako.
Mtu duni hukuachia nafsi yake,
Maana umekuwa msaidizi wa yatima.
13 Kwa nini mdhalimu amdharau Mungu.
Akisema moyoni mwake, Hutapatiliza?
14 Umeona, maana unaangalia matatizo na dhiki,
Uyatwae mkononi mwako.
Mtu duni hukuachia nafsi yake,
Maana umekuwa msaidizi wa yatima.