14 Mwa 1:29,30;Zab 147:8;136:25;Ayu 28:5Huyameesha majani kwa makundi,
Na maboga kwa matumizi ya mwanadamu;
Ili atoe chakula katika nchi,
15 Amu 9:13;Mit 31:6,7;Mhu 10:19;Yer 31:12;Mit 14:23;Yn 2:9,10Na divai imfurahishe mtu moyo wake.
Aung’aze uso wake kwa mafuta,
Na mkate umburudishe mtu moyo wake.