28 Wakamlilia BWANA katika dhiki zao,
Akawaponya kutoka kwa shida zao.
29 Huituliza dhoruba, ikawa shwari,
Mawimbi yake yakanyamaza.
30 Ndipo walipofurahi kwa kuwa yametulia
Naye akawaleta mpaka bandani waliyoitamani.
28 Wakamlilia BWANA katika dhiki zao,
Akawaponya kutoka kwa shida zao.
29 Huituliza dhoruba, ikawa shwari,
Mawimbi yake yakanyamaza.
30 Ndipo walipofurahi kwa kuwa yametulia
Naye akawaleta mpaka bandani waliyoitamani.