8 Na wamshukuru BWANA, kwa fadhili zake,
Na maajabu yake kwa wanadamu.
9 Maana hushibisha nafsi yenye shauku,
Na nafsi yenye njaa huijaza mema.
8 Na wamshukuru BWANA, kwa fadhili zake,
Na maajabu yake kwa wanadamu.
9 Maana hushibisha nafsi yenye shauku,
Na nafsi yenye njaa huijaza mema.