6 Kwa maana hataondoshwa kamwe;
Mwenye haki atakumbukwa milele.
7 Hataogopa habari mbaya;
Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.
6 Kwa maana hataondoshwa kamwe;
Mwenye haki atakumbukwa milele.
7 Hataogopa habari mbaya;
Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.