Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 116

6 BWANA huwalinda wasio na hila;

Nilidhilika, akaniokoa.

7 Yer 6:16;Mt 11:29Ee nafsi yangu, urudi pumzikoni mwako,

Kwa kuwa BWANA amekutendea ukarimu.

8 Maana umeniponya nafsi yangu na mauti,

Macho yangu na machozi,

Na miguu yangu na kuanguka.

9 Nitaenenda mbele za BWANA

Katika nchi za walio hai.

Veja também