* * *
9 Mit 1:4,10Jinsi gani kijana aisafishe njia yake?
Kwa kutii, akilifuata neno lako.
10 2 Nya 15:15Kwa moyo wangu wote nimekutafuta,
Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.
11 Lk 2:19Moyoni mwangu nimeliweka neno lako,
Nisije nikakutenda dhambi.