* * *
97 Zab 1:2Sheria yako naipenda mno ajabu,
Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa.
98 Kum 4:6,8;Isa 48:17Maagizo yako hunitia hekima kuliko adui zangu,
Kwa maana ninayo sikuzote.
99 2 Tim 3:15Ninazo akili kuliko waalimu wangu wote,
Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo.
100 Ayu 12:12;32:7Ninao ufahamu kuliko wazee,
Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.