Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 12

6 2 Sam 22:31;Zab 18:30;Mit 30:5Maneno ya BWANA ni maneno safi,

Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi;

Iliyosafishwa mara saba.

7 Wewe, BWANA, ndiwe utakayetuhifadhi,

Utatulinda na kizazi hiki milele.

Veja também