Hakikisho la ulinzi wa Mungu
1 Nayainua macho yangu niitazame milima,
Msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu hutoka kwa BWANA,
Aliyezifanya mbingu na nchi.
1 Nayainua macho yangu niitazame milima,
Msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu hutoka kwa BWANA,
Aliyezifanya mbingu na nchi.