Usalama wa watu wa Mungu
1 Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni,
Ambao hautikisiki, wakaa milele.
2 Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu,
Ndivyo BWANA anavyowazunguka watu wake,
Tangu sasa na hata milele.
1 Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni,
Ambao hautikisiki, wakaa milele.
2 Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu,
Ndivyo BWANA anavyowazunguka watu wake,
Tangu sasa na hata milele.