Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 126

5 Isa 12:1-3;Yer 31:9;Yoe 2:17;Mt 5:4;2 Kor 7:8-11Wapandao kwa machozi

Watavuna kwa kelele za furaha.

6 Ingawa mtu anakwenda zake akilia,

Azichukuapo mbegu za kupanda.

Hakika atarudi kwa kelele za furaha,

Aichukuapo miganda yake.

Veja também