3 Mwa 33:5;Kum 28:4Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA,
Uzao wa tumbo ni thawabu.
4 Kama mishale mkononi mwa shujaa,
Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.
5 Heri mtu yule
Aliyelijaza podo lake hivyo.
Naam, hawataona aibu
Wanaposema na adui langoni.