Publicidade

Salmos 128

Nyumba ya mwumini yenye furaha

1 Heri kila mtu amchaye BWANA,

Aendaye katika njia yake.

2 Isa 3:10Taabu ya mikono yako hakika utaila;

Utakuwa heri, na kwako kwema.

3 Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao,

Katika nyumba yako.

Wanao watakuwa kama miche ya mizeituni

Wakiizunguka meza yako.

4 Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye BWANA.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-