5 Isa 26:8Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja,
Na neno lake nimelitumainia.
6 Nafsi yangu inamngoja Bwana,
Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi,
Naam, walinzi waingojao asubuhi.
5 Isa 26:8Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja,
Na neno lake nimelitumainia.
6 Nafsi yangu inamngoja Bwana,
Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi,
Naam, walinzi waingojao asubuhi.