10 Zab 25:4;Yn 14:26;Rum 5:5;Efe 4:30;Gal 5:22-23Unifundishe kuyatenda mapenzi yako,
Kwa maana ndiwe Mungu wangu;
Roho yako mwema aniongoze katika njia iliyo sawa,
11 Ee BWANA, uniponye kwa ajili ya jina lako,
Kwa haki yako unitoe roho yangu taabuni;