8 Uniwezeshe kusikia fadhili zako asubuhi,
Kwa maana nimekutumaini Wewe.
Unifundishe njia nitakayoiendea,
Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.
8 Uniwezeshe kusikia fadhili zako asubuhi,
Kwa maana nimekutumaini Wewe.
Unifundishe njia nitakayoiendea,
Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.