3 Ayu 23:10;Yak 3:2Umenijaribu moyo wangu, umenijia usiku,
Umenichunguza usione neno;
Nimenuia kinywa changu kisikose,
4 Rum 12:2Kuhusu matendo ya wanadamu;
Kwa neno la midomo yako
Nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
5 Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako,
Hatua zangu hazikuondoshwa.