Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 17

6 Ee Mungu, nimekuita kwa maana utaitika,

Utege sikio lako ulisikie neno langu.

7 Dhihirisha fadhili zako za ajabu

Wewe uwaokoaye wanaokukimbilia;

Kwa mkono wako wa kulia

Uwaokoe kutoka kwa adui zao.

8 Kum 32:10Unilinde kama mboni ya jicho,

Unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako;

9 Wasinione wasio haki wanaonionea,

Adui za roho yangu wanaonizunguka.

Veja também