7 Amu 7:7Hawa wanataja magari na hawa farasi,
Lakini sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu.
8 Wao wameinama na kuanguka,
Bali sisi tumeinuka na kusimama.
7 Amu 7:7Hawa wanataja magari na hawa farasi,
Lakini sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu.
8 Wao wameinama na kuanguka,
Bali sisi tumeinuka na kusimama.