Mchungaji mwema
1 Yn 10:11;1 Pet 2:25BWANA ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
2 Ufu 7:17;Eze 34:14Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,
Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
1 Yn 10:11;1 Pet 2:25BWANA ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
2 Ufu 7:17;Eze 34:14Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,
Kando ya maji ya utulivu huniongoza.