Kuingia hekaluni
1 1 Kor 10:26;Kut 9:29;Ayu 41:11Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA,
Dunia na wote wakaao ndani yake.
2 Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari,
Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.
1 1 Kor 10:26;Kut 9:29;Ayu 41:11Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA,
Dunia na wote wakaao ndani yake.
2 Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari,
Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.