3 Ni nani atakayepanda katika mlima wa BWANA?
Ni nani atakayesimama katika patakatifu pake?
4 Mt 5:8Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe,
Asiyeiweka nafsi yake katika uongo,
Wala hakuapa kwa hila.
5 Atapokea baraka kwa BWANA,
Na haki kwa Mungu wa wokovu wake.