2 Zab 7:1;18:2;Rum 10:11Ee Mungu wangu,
Nimekutumainia Wewe, nisiaibike,
Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.
3 Naam, wakungojao hawataaibika hata mmoja;
Wataaibika watendao uhaini bila sababu.
2 Zab 7:1;18:2;Rum 10:11Ee Mungu wangu,
Nimekutumainia Wewe, nisiaibike,
Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.
3 Naam, wakungojao hawataaibika hata mmoja;
Wataaibika watendao uhaini bila sababu.