20 Unilinde nafsi yangu na kuniokoa,
Usiniache niaibike, maana nakukimbilia Wewe.
21 Ukamilifu na unyofu zinihifadhi,
Maana nakungoja Wewe.
20 Unilinde nafsi yangu na kuniokoa,
Usiniache niaibike, maana nakukimbilia Wewe.
21 Ukamilifu na unyofu zinihifadhi,
Maana nakungoja Wewe.