7 BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu.
Moyo wangu umemtumaini,
Nami nimesaidiwa;
Basi, moyo wangu unashangilia,
Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.
8 BWANA ni nguvu za watu wake,
Naye ni ngome ya wokovu kwa masihi wake.
7 BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu.
Moyo wangu umemtumaini,
Nami nimesaidiwa;
Basi, moyo wangu unashangilia,
Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.
8 BWANA ni nguvu za watu wake,
Naye ni ngome ya wokovu kwa masihi wake.