Shukrani kwa kuponywa maradhi mabaya
1 Ee BWANA, nitakutukuza kwa maana umeniinua,
Wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu.
2 Zab 6:2-4Ee BWANA, Mungu wangu,
Nilikulilia ukaniponya.
3 Zab 40:1,2Umeniinua nafsi yangu,
Ee BWANA, kutoka kuzimu.
Umenihuisha na kunitoa
Miongoni mwao washukao Shimoni.