Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 30

Shukrani kwa kuponywa maradhi mabaya

1 Ee BWANA, nitakutukuza kwa maana umeniinua,

Wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu.

2 Zab 6:2-4Ee BWANA, Mungu wangu,

Nilikulilia ukaniponya.

3 Zab 40:1,2Umeniinua nafsi yangu,

Ee BWANA, kutoka kuzimu.

Umenihuisha na kunitoa

Miongoni mwao washukao Shimoni.

Veja também