Ukuu na wema wa Mungu
1 Mpigieni BWANA vigelegele, enyi wenye haki,
Kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
2 Mshukuruni BWANA kwa kinubi,
Kwa kinanda cha nyuzi kumi mwimbieni sifa.
3 Mwimbieni wimbo mpya,
Pigeni kwa ustadi kwa sauti ya shangwe.
1 Mpigieni BWANA vigelegele, enyi wenye haki,
Kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
2 Mshukuruni BWANA kwa kinubi,
Kwa kinanda cha nyuzi kumi mwimbieni sifa.
3 Mwimbieni wimbo mpya,
Pigeni kwa ustadi kwa sauti ya shangwe.