Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 33

17 Farasi hafai kitu kwa wokovu,

Wala hamponyi mtu kwa wingi wa nguvu zake.

18 Ayu 36:7;Zab 34:15Tazama, jicho la BWANA li kwao wamchao,

Wazingojeao fadhili zake.

19 Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti,

Na kuwahuisha wakati wa njaa.

Veja também