20 Nafsi zetu zinamngoja BWANA;
Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu.
21 Maana mioyo yetu itamfurahia,
Kwa kuwa tumelitumainia jina lake takatifu.
22 Ee BWANA, fadhili zako zikae nasi,
Kama tunavyo kutumainia Wewe.
20 Nafsi zetu zinamngoja BWANA;
Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu.
21 Maana mioyo yetu itamfurahia,
Kwa kuwa tumelitumainia jina lake takatifu.
22 Ee BWANA, fadhili zako zikae nasi,
Kama tunavyo kutumainia Wewe.