Sifa kwa kukombolewa katika shida
Ya Daudi, alipojifanya mwenye kichaa mbele za Abimeleki, ndipo akafukuzwa na kumtoroka.
1 Nitamhimidi BWANA kila wakati,
Sifa zake zi kinywani mwangu daima.
1 Nitamhimidi BWANA kila wakati,
Sifa zake zi kinywani mwangu daima.