17 Walilia, naye BWANA akasikia,
Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.
18 BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo,
Na huwaokoa waliopondeka roho.
17 Walilia, naye BWANA akasikia,
Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.
18 BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo,
Na huwaokoa waliopondeka roho.