8 Onjeni muone ya kuwa BWANA yu mwema;
Heri mtu yule anayemtumainia.
9 Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake,
Maana, wamchao hawapungukiwi kitu.
8 Onjeni muone ya kuwa BWANA yu mwema;
Heri mtu yule anayemtumainia.
9 Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake,
Maana, wamchao hawapungukiwi kitu.