23 Hatua za mtu mwema huimarishwa na BWANA,
Naye huipenda njia yake.
24 Ajapojikwaa hataanguka chini,
Maana BWANA humshika mkono na kumtegemeza.
23 Hatua za mtu mwema huimarishwa na BWANA,
Naye huipenda njia yake.
24 Ajapojikwaa hataanguka chini,
Maana BWANA humshika mkono na kumtegemeza.