Shukrani kwa kuponywa na sala ya kutaka msaada
1 Nilimngoja BWANA kwa subira,
Akaniinamia na kusikia kilio changu.
2 Akanipandisha toka shimo la uharibifu,
Toka udongo wa utelezi;
Akaisimamisha miguu yangu mwambani,
Akaziimarisha hatua zangu.
1 Nilimngoja BWANA kwa subira,
Akaniinamia na kusikia kilio changu.
2 Akanipandisha toka shimo la uharibifu,
Toka udongo wa utelezi;
Akaisimamisha miguu yangu mwambani,
Akaziimarisha hatua zangu.
+581 estão orando agora.
Junte-se à corrente de oração.