Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 40

Shukrani kwa kuponywa na sala ya kutaka msaada

1 Nilimngoja BWANA kwa subira,

Akaniinamia na kusikia kilio changu.

2 Akanipandisha toka shimo la uharibifu,

Toka udongo wa utelezi;

Akaisimamisha miguu yangu mwambani,

Akaziimarisha hatua zangu.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também