Hakikisho la msaada wa Mungu na ombi la uponyaji
1 Mit 14:21;Mk 10:21Heri amkumbukaye mnyonge;41:1 Au maskini.
BWANA atamwokoa siku ya taabu.
2 BWANA atamlinda na kumhifadhi hai,
Naye atafanikiwa katika nchi;
Wala usimtie katika hali wamtakiayo adui zake.
3 BWANA atamtegemeza alipo mgonjwa kitandani.
Katika ugonjwa wake unamponya maradhi yake yote.