3 Maana hawakuitwaa nchi kwa upanga wao,
Wala hawakupata ushindi kwa mkono wao;
Bali mkono wako wa kulia, naam, mkono wako,
Na nuru ya uso wako, kwa kuwa ulipendezwa nao.
4 Ee Mungu, Wewe ndiwe mfalme wangu,
Uagize mambo ya wokovu kwa Yakobo.
3 Maana hawakuitwaa nchi kwa upanga wao,
Wala hawakupata ushindi kwa mkono wao;
Bali mkono wako wa kulia, naam, mkono wako,
Na nuru ya uso wako, kwa kuwa ulipendezwa nao.
4 Ee Mungu, Wewe ndiwe mfalme wangu,
Uagize mambo ya wokovu kwa Yakobo.