6 Maana sitautumainia upinde wangu,
Wala upanga wangu hauwezi kuniokoa.
7 Bali Wewe ndiwe uliyetuokoa kutoka kwa watesi wetu;
Na watuchukiao umewaaibisha.
8 Tumejisifia Mungu mchana kutwa,
Na jina lako tutalishukuru milele.
6 Maana sitautumainia upinde wangu,
Wala upanga wangu hauwezi kuniokoa.
7 Bali Wewe ndiwe uliyetuokoa kutoka kwa watesi wetu;
Na watuchukiao umewaaibisha.
8 Tumejisifia Mungu mchana kutwa,
Na jina lako tutalishukuru milele.