11 1 Kor 2:9Nao wote wanaokukimbilia watafurahi;
Watapiga kelele za furaha daima.
Kwa kuwa Wewe unawahifadhi,
Walipendao jina lako watakufurahia.
12 Kwa maana Wewe utambariki mwenye haki;
BWANA, utamzungushia radhi kama ngao.
11 1 Kor 2:9Nao wote wanaokukimbilia watafurahi;
Watapiga kelele za furaha daima.
Kwa kuwa Wewe unawahifadhi,
Walipendao jina lako watakufurahia.
12 Kwa maana Wewe utambariki mwenye haki;
BWANA, utamzungushia radhi kama ngao.