Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 51

Sala ya utakaso na msamaha

1 Kol 2:14Ee Mungu, unirehemu,

kulingana na fadhili zako.

Kiasi cha wingi wa rehema zako,

Uyafute makosa yangu.

2 Eze 36:25;Zek 13:1;1 Kor 6:11;Ebr 9:14;1 Yoh 1:7;Ufu 1:5Unioshe kabisa uovu wangu,

Unitakase dhambi zangu.

3 Zab 32:5Maana nimejua mimi makosa yangu

Na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

Veja também