12 Kwa maana si adui aliyenitukana;
Kama ndivyo, ningevumilia.
Aliyejitukuza juu yangu siye anichukiaye;
Kama ndivyo, ningejificha asinione.
13 2 Sam 15:12Bali ni wewe, mtu mwenzangu,
Rafiki yangu, niliyejuana nawe sana.
14 Tumehusiana vizuri; na kutembea
Nyumbani mwa Mungu pamoja na mkutano.