10 Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.
Kwa msaada wa BWANA nitalisifu neno lake.
11 Nimemtumaini Mungu, sitaogopa;
Mwanadamu atanitenda nini?
10 Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.
Kwa msaada wa BWANA nitalisifu neno lake.
11 Nimemtumaini Mungu, sitaogopa;
Mwanadamu atanitenda nini?